Msanii nguli katika kuiga sauti za
watu maarufu MC Babu Ayoub
aliyewahi kutamba na wimbo wa
chaja ya kobe ameibuka na
kusema mkali wa ngololo
Diamond si mchawi.
Mkali huyu wa kibao cha chaja ya
kobe ambaye pia aliwahi
kushiriki katika wimbo wa ndiyo
mzee wa Prof.J alifunguka mbele
ya mwandishi wetu. ALisema
“Diamond si mchawi ila
anajithamini kama msanii,anajua
umuhimu wake anajitambua na
hata kama hajitambui basi
anawashauri wazuri kwa maana
ya menejiment.anajituma kwani
anajua kucheza na muda na yuko
kibiashara zaidi si kama wasanii
wengine waliowahi kuhit,jamaa
najua pia kucheza na
media ,ukimpa nafasi hafanyi
makosa.Aidha msanii huyu
anayetegemea kuja na kibao
chake kipya amedai msanii
Diamond ana haki ya kuwa hapo
alipo lakini pia itakuwa ni
fundisho kwa wasanii wengine
waliohiti na watakaohit.
aliyewahi kutamba na wimbo wa
chaja ya kobe ameibuka na
kusema mkali wa ngololo
Diamond si mchawi.
Mkali huyu wa kibao cha chaja ya
kobe ambaye pia aliwahi
kushiriki katika wimbo wa ndiyo
mzee wa Prof.J alifunguka mbele
ya mwandishi wetu. ALisema
“Diamond si mchawi ila
anajithamini kama msanii,anajua
umuhimu wake anajitambua na
hata kama hajitambui basi
anawashauri wazuri kwa maana
ya menejiment.anajituma kwani
anajua kucheza na muda na yuko
kibiashara zaidi si kama wasanii
wengine waliowahi kuhit,jamaa
najua pia kucheza na
media ,ukimpa nafasi hafanyi
makosa.Aidha msanii huyu
anayetegemea kuja na kibao
chake kipya amedai msanii
Diamond ana haki ya kuwa hapo
alipo lakini pia itakuwa ni
fundisho kwa wasanii wengine
waliohiti na watakaohit.
No comments:
Post a Comment