Friday, February 14, 2014
Warren ambaye ni shoga
anayeigiza sinema katika
tasnia ya sinema ya Nollywood
nchini Nigeria amefariki ghafla
alhamisi iliyopita majira ya
usiku katika Hospitali moja
jijini Lagos nchini Nigeria.
Charles Warren alifariki ghafla
wakati akiifanya mapenzi
(akimegwa) na mwenzake
aliyetajwa kwa jina la Ajah
ambapo ghafla alianza kulalamika
maumivu ya kiuno na baadaye
maumivu hayo yakahamia
mgongoni ambapo baadaye
alipata haja kubwa mara nne
ndani ya muda wa dakika 30.
Baadaye maumivu hayo
yalihamia kifuani ambapo ilibidi
awahishwe katika hospitali ya
Safeway kwa matibabu zaidi.
Rafiki yake aitwaye Ajah ambaye
ndiye waliyekuwa wakifanya naye
mapenzi alijaribu bila mafanikio
kumfanyia masaji kifuani ili
kumpunguzia maumivu lakini
haikusaidia, Warren alifariki
dunia usiku huo huo.
RIP Charles Warren.
No comments:
Post a Comment