rekodi fupi ya arsenal dhidi ya leicester city kwa muda ambao walishakutana , ambapo leo watakutana dimbani pale arsena l fc watakuwa wageni kwa leicester city
msimamo wa ligi kuu ya uingereza mpaka sasa CHELSEA FC ikiongoza ligi baada ya kutoa kichapo cha adabu kwa wakali wao wa muda mfupi EVERTON FC
picha ya hapo juu inaosha ni jinsi gan pale uwanaja wa spurs utakuwa mgumu baada ya timu mbili matata kungoana meno , huku ASTON VILLA wakichuana na HULL CITY
No comments:
Post a Comment